Timu ya Taifa ya Rwanda ya mpira wa mikono kwa wanaume imeanza vizuri Kombe la Afrika linaloendelea jijini Kigali, baada ya kuifunga Zambia kwa mabao 30 kwa 19, Jumatano tarehe 21 Januari 2026, katika ukumbi wa BK Arena.
Na Christopher Karenzi Hafla ya ufunguzi wa mashindano hayo ya 27 yalizishirikisha mataifa 16 ya Afrika, yaliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali
Read more