{"id":6138,"date":"2026-08-19T16:53:00","date_gmt":"2026-08-19T16:53:00","guid":{"rendered":"https:\/\/brightafrica.rw\/?p=6138"},"modified":"2026-08-19T16:53:01","modified_gmt":"2026-08-19T16:53:01","slug":"simba-queens-yapangwa-na-kenya-police-bullets-katika-mechi-za-kufuzu-ligi-ya-mabingwa-afrika-ya-wanawake","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/2026\/08\/19\/simba-queens-yapangwa-na-kenya-police-bullets-katika-mechi-za-kufuzu-ligi-ya-mabingwa-afrika-ya-wanawake\/","title":{"rendered":"Simba Queens yapangwa na Kenya Police Bullets katika mechi za kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika ya Wanawake"},"content":{"rendered":"\n<p>Na Karenzi Christopher<\/p>\n\n\n\n<p>Timu ya Tanzania ya Simba Queens FC imepangwa kukutana na Kenya Police Bullets FC katika michuano ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika ya Wanawake ya ukanda wa CECAFA mwaka 2026.<\/p>\n\n\n\n<p>Droo rasmi ilifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Uwanja wa Amahoro, Kigali, Rwanda.&nbsp; Droo hiyo iliendeshwa na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano ya &nbsp;CECAFA, Andrew Jackson Oryada, akisaidiwa na aliyekuwa mchezaji wa kimataifa wa Rwanda, Gloria Sofia Nibagwire.<\/p>\n\n\n\n<p>Michuano hiyo ya kufuzu, ambayo itashirikisha timu 10, itafanyika Kigali kuanzia Agosti 21 hadi 31, 2026. Mechi zitachezwa katika Kigali Pele Stadium na uwanja wa FERWAFA Technical Centre.<\/p>\n\n\n\n<p>Simba Queens, ambao walikuwa mabingwa wa ukanda wa CECAFA mwaka 2022, wamewekwa Kundi C, pamoja na mabingwa wa Kenya, Kenya Police Bullets, na Top Girls Academy kutoka Burundi.<\/p>\n\n\n\n<p>Wenyeji Rayon Sport WFC wamewekwa Kundi A pamoja na Yei Joint Star FC ya Sudan Kusini, Mafunzo SC ya Zanzibar na Denden FC ya Eritrea.<\/p>\n\n\n\n<p>Commercial Bank of Ethiopia (CBE), ambao wamefika fainali mara mbili na kutwaa ubingwa mwaka 2024, wamewekwa Kundi B pamoja na Kawempe Muslim Ladies ya Uganda na FC Ujeco ya Djibouti.<\/p>\n\n\n\n<p>Timu mbili bora kutoka Kundi A, pamoja na vinara wa Kundi B na Kundi C, zitafuzu hatua ya nusu fainali.<\/p>\n\n\n\n<p>Katika hatua ya nusu fainali: Mshindi wa Kundi B atacheza dhidi ya mshindi wa pili wa Kundi A. Mshindi wa Kundi A atakutana na mshindi wa Kundi C.<\/p>\n\n\n\n<p>Bingwa wa michuano hiyo ya CECAFA ataiwakilisha kanda ya CECAFA katika Ligi ya Mabingwa Afrika ya Wanawake 2026.<\/p>\n\n\n\n<p>Kundi A&nbsp; kuna Rayon Sport WFC , Yei Joint Star FC , Mafunzo SC na Denden FC<\/p>\n\n\n\n<p>Kundi B: CBE FC , Kawempe,&nbsp; Muslim Ladies na FC Ujeco<\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full is-resized\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"800\" height=\"500\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/08\/CECAFA-RWANDA-IGITWE-1.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-6140\" style=\"width:1055px;height:auto\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/08\/CECAFA-RWANDA-IGITWE-1.jpg 800w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/08\/CECAFA-RWANDA-IGITWE-1-300x188.jpg 300w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/08\/CECAFA-RWANDA-IGITWE-1-768x480.jpg 768w\" sizes=\"auto, (max-width: 800px) 100vw, 800px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>Kundi C: Simba Queens , Kenya Police Bullets FC na Top Girls Academy FC<\/p>\n\n\n\n<p>Kwa sasa, CAF bado haijatangaza rasmi uwanja na tarehe za kuanza kwa Ligi ya Mabingwa Afrika ya Wanawake 2026.<\/p>\n\n\n\n<p><\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Na Karenzi Christopher Timu ya Tanzania ya Simba Queens FC imepangwa kukutana na Kenya Police Bullets FC katika michuano ya<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":6139,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[9],"tags":[],"class_list":["post-6138","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-imikino"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/6138","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=6138"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/6138\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":6141,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/6138\/revisions\/6141"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media\/6139"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=6138"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=6138"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=6138"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}