{"id":5738,"date":"2026-02-16T17:37:50","date_gmt":"2026-02-16T17:37:50","guid":{"rendered":"https:\/\/brightafrica.rw\/?p=5738"},"modified":"2026-02-16T17:42:44","modified_gmt":"2026-02-16T17:42:44","slug":"__trashed","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/2026\/02\/16\/__trashed\/","title":{"rendered":"Al Hilal SC Ombdurman yatinga hatua ya \u00bc Finali ya Ligi ya Mabingwa Afrika."},"content":{"rendered":"\n<p><strong>Na Christopher Karenzi.<\/strong><strong><\/strong><\/p>\n\n\n\n<p>Timu ya Al Hilal SC Ombdurman ya Sudan imefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali ya \u00a0kombe la CAF Champions League na kuwashukuru Wanyarwanda kwa sapoti yao kubwa katika mashindano hayo mwishoni mwa juma.\u00a0 <\/p>\n\n\n\n<p>AL Hilal imefikia hiyo baada ya kuwafunga \u00a0Saint-\u00c9loi Lupopo bao 1-0 katika Uwanja wa Taifa wa Amahoro jijini Kigali.Mchezo huo ulihudhuriwa na mashabiki wengi kwani uliunganishwa na \u00a0mchuano wa Ligi Kuu ya Rwanda kati ya APR FC na Kiyovu Sports. Pia ulikuwa ni mchezo wa mwisho wa Kundi C katika mchuano wa Ligi ya mabingwa barani Afrika (CAF Champions League).<\/p>\n\n\n\n<p>Kwa msimamo wa kundi C,\u00a0Al Hilal SC Ombdurman wamemaliza michuano ya makundi wakiongoza \u00a0kwa alama\u00a0<strong>11, <\/strong>nafasi ya pili ni\u00a0Mamelodi Sundowns ya Afrika ya Kusini, wamemaliza kwa alama\u00a0\u00a0<strong>9\u00a0wakati<\/strong> \u00a0MC Alger ya Algeria wakiwa na\u00a0 alama 7hatimayeSaint-\u00c9loi Lupopo kutoka DRC wanashikilia \u00a0mkia na alama <strong>5.<\/strong><\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-large is-resized\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"1024\" height=\"781\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/02\/ali-hila-2-ok-1024x781.jpeg\" alt=\"\" class=\"wp-image-5744\" style=\"aspect-ratio:1.3118321352244027;width:1055px;height:auto\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/02\/ali-hila-2-ok-1024x781.jpeg 1024w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/02\/ali-hila-2-ok-300x229.jpeg 300w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/02\/ali-hila-2-ok-768x585.jpeg 768w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/02\/ali-hila-2-ok.jpeg 1199w\" sizes=\"auto, (max-width: 1024px) 100vw, 1024px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>Wakati Al Hilal &nbsp;wakisherehekea hatua waliyofikia ya kutinga robo fainali ya mashindano haya yanayokutanisha vilabu vikubwa barani Afrika, na baada ya kuizidi nguvu miamba mingine ikiwemo Mamelodi Sundowns, mashabiki walikuwa wakitamka kwa furaha: \u201cAsante Rwanda.\u201d<\/p>\n\n\n\n<p>Maneno hayo pia yalionekana kwenye mabango yaliyokuwa yakishikiliwa na raia wa Sudan wanaoishi Rwanda, wakionesha kuwa nchi hiyo imechangia kwa kiasi kikubwa mafanikio ya timu yao, huku Wanyarwanda wengi wakiendelea kuipa sapoti. Ujumbe huo ulitolewa kupitia mitandao ya kijamii ya klabu hiyo usiku wa Jumamosi, tarehe 14 Februari 2026<\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"1000\" height=\"667\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/02\/Al-hila-3-1.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-5745\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/02\/Al-hila-3-1.jpg 1000w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/02\/Al-hila-3-1-300x200.jpg 300w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/02\/Al-hila-3-1-768x512.jpg 768w\" sizes=\"auto, (max-width: 1000px) 100vw, 1000px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>                                                               Al Hilal SC yaishukuru Rwanda kwa \u00a0sapoti ya mashabiki \u00a0kwenye \u00a0mashindano ya kimataifa<\/p>\n\n\n\n<p>Al Hilal SC ni moja ya timu za Sudan zinazoshiriki Ligi Kuu ya Rwanda kutokana na changamoto za kiusalama zinazoendelea nchini kwao, na imekuwa ikicheza mechi zake za kitaifa na kimataifa jijini Kigali.<\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full is-resized\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"1024\" height=\"780\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/02\/al-hila-4.jpeg\" alt=\"\" class=\"wp-image-5746\" style=\"width:1055px;height:auto\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/02\/al-hila-4.jpeg 1024w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/02\/al-hila-4-300x229.jpeg 300w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2026\/02\/al-hila-4-768x585.jpeg 768w\" sizes=\"auto, (max-width: 1024px) 100vw, 1024px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>                                                                                                                  Wachezaji wa Al Hilal SC wakifurahia bao la ushindi<\/p>\n\n\n\n<p>Baada ya mchuano huo wa kimataifa, ilifuata mechi ya ligi kuu ya soka baina ya watani wa jadi Kiyovu Sports Club na APR FC. Hadi kipenga \u00a0mwisho \u00a0kupulizwa timu hizo zilimaza kwa\u00a0 sare \u00a0bao 1-1 katika uwanja wa Amahoro. Nuru Ali anatathmini kuhusu mchuano huo<\/p>\n\n\n\n<p>Hayo yakijiri jumanne hii tarehe 17 Februari 2026, ni kidumbwendumbwe &nbsp;ambapo mashabiki wa Rwanda watashuhudia&nbsp; dabi kati ya Al Merrikh<a href=\"https:\/\/www.youtube.com\/watch?v=wXsySEf_bFk\"><\/a> na Al Hilal Omdurman kwenye Ligi kuu ya soka itakayofanyika kwenye <strong>&nbsp;<\/strong>uwanja wa taifa wa Amahoro, jijini Kigali.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Na Christopher Karenzi. Timu ya Al Hilal SC Ombdurman ya Sudan imefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali ya \u00a0kombe la<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":5739,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[9],"tags":[],"class_list":["post-5738","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-imikino"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5738","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=5738"}],"version-history":[{"count":2,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5738\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":5747,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5738\/revisions\/5747"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media\/5739"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=5738"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=5738"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=5738"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}