{"id":4054,"date":"2024-02-28T14:56:06","date_gmt":"2024-02-28T14:56:06","guid":{"rendered":"https:\/\/brightafrica.rw\/?p=4054"},"modified":"2024-02-28T14:59:48","modified_gmt":"2024-02-28T14:59:48","slug":"mwingereza-joseph-blackmore-kutoka-club-ya-israel-premier-tech-atawazwa-bingwa-wa-tour-du-rwanda-2024","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/2024\/02\/28\/mwingereza-joseph-blackmore-kutoka-club-ya-israel-premier-tech-atawazwa-bingwa-wa-tour-du-rwanda-2024\/","title":{"rendered":"Mwingereza Joseph Blackmore kutoka Club ya Israel Premier Tech \u00a0atawazwa bingwa wa Tour du Rwanda 2024"},"content":{"rendered":"\n<p>Shindano la kimataifa la Tour du Rwanda 2024 lililoanza &nbsp;tarehe 18.02.204 limefikia kilele chake trehe 25 Februari 2024.<\/p>\n\n\n\n<p>Nchi 19 kutoka mataifa mbali mbali duniani zilishiriki.&nbsp;Mwingereza Joseph Blackmore kutoka Club ya Israel Premier Tech &nbsp;ametawazwa bingwa wa mbio za baiskeli Tour du Rwanda mwaka 2024.<\/p>\n\n\n\n<p>Kijana huyo mwenye umri wa miaka 21 ametawala hatua ya 8 na ya mwisho umbali wa kilomita &nbsp;73.3 &nbsp;katika &nbsp;baadhi ya mitaa ya jiji la Kigali. Blackmore &nbsp;&nbsp;ametumia &nbsp;muda wa &nbsp;saa 1 dakika 37 na sekunde 30 akifuatwa na mfaransa &nbsp;Pierre Latour&nbsp; wa TotalEnergies.<\/p>\n\n\n\n<p>Mnyarwanda aliyekuja karibu &nbsp;ni Moise Mugisha&nbsp; wa timu ya Java-InovoTec&nbsp; alimaliza &nbsp;kwenye nafasi ya 12. Alikuwa nyuma kwa sekunde 46.<\/p>\n\n\n\n<p>Kwa jumla mwingereza huyo&nbsp;ametawala mbio hizo&nbsp;umbali&nbsp; wa kilomita 740 nchini Rwanda&nbsp;&nbsp;baada ya kutumia muda wa&nbsp; saa 17 dakika 18 na sekunde 46.<\/p>\n\n\n\n<p>Walioshiriki shindano hili walikuwa zaidi ya 90 lakini waliofaulu kumaliza kinyang\u2019ayro hicho walikuwa 63.<\/p>\n\n\n\n<p><\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-large\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"1024\" height=\"683\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/TOUR-D-RWANDA-2-1024x683.webp\" alt=\"\" class=\"wp-image-4056\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/TOUR-D-RWANDA-2-1024x683.webp 1024w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/TOUR-D-RWANDA-2-300x200.webp 300w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/TOUR-D-RWANDA-2-768x512.webp 768w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/TOUR-D-RWANDA-2.webp 1080w\" sizes=\"auto, (max-width: 1024px) 100vw, 1024px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>Blackmore amevikwa jezi ya manjano na Waziri wa michezo &nbsp;Bi Aurore Mimosa Munyangaju.&nbsp; Baada ya ushindi huo wa kwanza alikuwa na haya ya kusema <em>\u2018Kupanda milima imekuwa changamoto wapinzani wamekuwa wakali wakati nimefika sehemu ya kushuka na eneo tambarare nimewachosha, nimejaribu &nbsp;kudhibiti muda wangu vizuri. Kwa mashindano yajayo&nbsp; haa &nbsp;tunakwenda kwenye maandalizi &nbsp;tutaona cha kufanya\u2019\u2019 .<\/em><\/p>\n\n\n\n<p>Mshindi wa awamu ya 16 &nbsp; Blackmore akishirikiana na bingwa mara nne &nbsp;wa Tour &nbsp;de France Christopher Froome &nbsp;pamoja na wenzake&nbsp; wa timu ya Club ya Israel (Israel Premier Tech) wameonyesha kiwango cha juu katika shindano hili.<\/p>\n\n\n\n<p>Mnyarwanda aliyekuja karibu&nbsp; ni Eric Manizabayo amekuja kwenye nafasi ya 15 akiwa nyuma kwa&nbsp; dakika 5 na sekunde 13.<\/p>\n\n\n\n<p>Mukasa Nelson ni Kocha wa kuongeza&nbsp; nguvu za misuri katika timu ya May Stars ya&nbsp; hapa nchini Rwanda, amesema kwamba timu yake bado ni changa katika mashindano kama haya ya Tour du Rwanda. Ina wachezaji mchanganyiko wakiwemo wanyarwanda na baadhi ya wachezaji wa kigeni.<\/p>\n\n\n\n<p>Amebaini kuwa &nbsp;wamejifunza mengi kutoka &nbsp;kwa waendeshabaiskeli waliobobebea katika mshindano haya.<\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full is-resized\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"847\" height=\"491\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/MUKASA-2.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-4057\" style=\"width:1037px;height:auto\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/MUKASA-2.jpg 847w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/MUKASA-2-300x174.jpg 300w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/MUKASA-2-768x445.jpg 768w\" sizes=\"auto, (max-width: 847px) 100vw, 847px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>                                                     Kocha wa kuongeza nguvu za misuli katika timu ya May Stars Nelson Mukasa<\/p>\n\n\n\n<p>Mukasa amesema: \u2018<em>\u2019Tiimu zetu zinatakiwa kufanya michuano mingi ya ndani na ya kimataifa ili mwaka ujao timu za Rwanda ziwe kwenye kiwango kinachoridhisha\u2019\u2019<\/em><\/p>\n\n\n\n<p>Mu eritria Dawit Yemane anayekipiga katika club ya Bike Aid ya Ujerumani ametawazwa kuwa mwendeshabaiskeli bora barani Afrika. Alikuwa na haya kusema. Amesema \u2018<em>\u2019 Eh&nbsp; kuna tufauti ya mashindano, mwaka jana lilikuwa gumu na mwaka huu limekuwa&nbsp; gumu zaidi hususan wakati wa mbio za kufika kwenye mstali &nbsp;(sprint) Kwa upande wangi mambo hayakuwa mazuri.<\/em><\/p>\n\n\n\n<p>Kwa muda wa siku nane,Waendeshabaiskeli walioshiriki&nbsp; mbio za Tour du Rwanda &nbsp;ya mwaka huu&nbsp; ilikuwa ni&nbsp; umbali&nbsp; wa kilomita 740 kote nchini.<\/p>\n\n\n\n<p>Timu za Afrika hazikufua dafu mwaka &nbsp;huu licha ya kwamba Eritrea imetawazwa kuwa timu bora katika shindano hili lakini hakuna mwafrika aliyethubutu kushindi hatua hata moja.<\/p>\n\n\n\n<p>Aidha, Rwanda itakuwa ni mwenyeji wa mashindano ya dunia ya mbio za baiskeli &nbsp;\u2018\u2019 UCI World Championships 2025\u2019\u2019. Itakuwa ni kwa mara ya kwanza kufanyika nchini Rwanda na barani Afrika kwa jumla.<\/p>\n\n\n\n<p><\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full is-resized\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"446\" height=\"545\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/mshindi.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-4060\" style=\"width:1034px;height:auto\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/mshindi.jpg 446w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/mshindi-246x300.jpg 246w\" sizes=\"auto, (max-width: 446px) 100vw, 446px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>                                                                                                   Mshindi wa Tour du Rwanda 2024 Joseph Blackmore <\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-large\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"1024\" height=\"683\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/TOUR-DU-RWANDA-6-1024x683.webp\" alt=\"\" class=\"wp-image-4058\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/TOUR-DU-RWANDA-6-1024x683.webp 1024w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/TOUR-DU-RWANDA-6-300x200.webp 300w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/TOUR-DU-RWANDA-6-768x512.webp 768w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/TOUR-DU-RWANDA-6.webp 1080w\" sizes=\"auto, (max-width: 1024px) 100vw, 1024px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full is-resized\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"963\" height=\"725\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/tour-du-rda-7.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-4059\" style=\"width:1032px;height:auto\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/tour-du-rda-7.jpg 963w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/tour-du-rda-7-300x226.jpg 300w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2024\/02\/tour-du-rda-7-768x578.jpg 768w\" sizes=\"auto, (max-width: 963px) 100vw, 963px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p><\/p>\n\n\n\n<p><strong>Christopher Karenzi<\/strong><\/p>\n\n\n\n<p><\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Shindano la kimataifa la Tour du Rwanda 2024 lililoanza &nbsp;tarehe 18.02.204 limefikia kilele chake trehe 25 Februari 2024. Nchi 19<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":4055,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[9],"tags":[],"class_list":["post-4054","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-imikino"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4054","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4054"}],"version-history":[{"count":3,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4054\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":4064,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4054\/revisions\/4064"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media\/4055"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4054"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4054"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4054"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}