{"id":3684,"date":"2023-09-11T15:50:35","date_gmt":"2023-09-11T15:50:35","guid":{"rendered":"https:\/\/brightafrica.rw\/?p=3684"},"modified":"2023-09-11T15:50:36","modified_gmt":"2023-09-11T15:50:36","slug":"may-stars-continental-cycling-team-ni-muhimu-sana-kwa-wanabaiskeli-rwanda-2","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/2023\/09\/11\/may-stars-continental-cycling-team-ni-muhimu-sana-kwa-wanabaiskeli-rwanda-2\/","title":{"rendered":"May stars Continental Cycling Team, ni muhimu sana kwa wanabaiskeli Rwanda"},"content":{"rendered":"\n<p>Criterium de Kigali&nbsp; ni moja ya mashindano yanayoandaliwa na Shirikisho&nbsp; la kuendesha baiskeli nchini Rwanda FERWACY ambayo yako kwenye karenda ya \u201cRwanda Cycling Cup\u201d.<\/p>\n\n\n\n<p>&nbsp;Washiriki wa shindano kutoka vilabu mbali mbali wanaume kwa wanawake wameshiriki shindano hilo jumapili tarehe 08.09.2023jijini Kigali kupitia njia ya&nbsp; BK Arena \u2013 Kimironko Simba \u2013 KIE \u2013 RRA \u2013 Airtel \u2013 Stade Amahoro \u2013 BK Arena.<\/p>\n\n\n\n<p>Upande wa wanaume mwendesha baiskeli Mugisha Mo\u00efse wa Club ya Benediction Club kutoka mjini Gisenyi ametawazwa bingwa katika shindano maarufu \u2018\u2019Criterium de Kigali\u201d\u00a0 umbali wa kilomita 86 akitumia muda wa saa mbili , dakika moja na sekunde 5\u00a0 (2h 1\u2019 5\u2019\u2019).<\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full is-resized\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Brightafrica-10.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-3686\" style=\"width:1033px;height:688px\" width=\"1033\" height=\"688\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Brightafrica-10.jpg 1000w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Brightafrica-10-300x200.jpg 300w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Brightafrica-10-768x511.jpg 768w\" sizes=\"auto, (max-width: 1033px) 100vw, 1033px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>                                            Mugisha Mo\u00efse wa Club ya Benediction (katikati) atawala mbio  za Criterium de Kigali\u00a0<\/p>\n\n\n\n<p>Meneja wa timu na Kocha wa kunyoosha misuli katika May stars Continental Cycling Team<\/p>\n\n\n\n<p>Baada ya shindano hilo kumalizika Mukasa alikuwa amesema kwamba shindano hili ni muhimu kwa vijana kwa maandalizi ya mashindano ya dunia yatakayofanyika kwa mara ya kwanza&nbsp; katika ardhi ya Rwanda mwaka 2025.<\/p>\n\n\n\n<p>\u2018\u2019\u00a0<em>Hili shindano limetuonyesha kwamba lina wachezaji wazuri\u00a0 wa Rwanda wenye vipaji, huu ni mwanzo mzuri wa kujiandaa\u00a0 shindano\u00a0 la dunia mwaka 2025 kuanzia kwa watoto vijana\u00a0 wadogo wasichana kwa wavulana\u2019\u2019<\/em>.<\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full is-resized\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/coach-may-star.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-3687\" style=\"width:1033px;height:1229px\" width=\"1033\" height=\"1229\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/coach-may-star.jpg 586w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/coach-may-star-252x300.jpg 252w\" sizes=\"auto, (max-width: 1033px) 100vw, 1033px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>                                                                                        Nelson Mukasa Meneja wa timu ya May stars Continental<\/p>\n\n\n\n<p>Kuhusu Timu ya wa eritrea iliyopo\u00a0 hapa Rwanda May stars Continental Cycling Team, amesema kwamba ni timu ambayo iko kwenye kiwango cha kushiriki\u00a0 mashindano ya Bara.<\/p>\n\n\n\n<p>Amesema na hapa namnukuu\u00a0<em>\u2018\u2019 Tutajifunza mengi\u00a0 sana kutoka kwa waeritria kwasababu wanaongoza barani Afrika kwa kuendesha baiskeli<\/em>,\u00a0<em>ni muhimu sana<\/em>\u00a0<em>kuwepo kwa timu hii ya Eritrea ambayo\u00a0 hutumia wachezaji wa Rwanda na Eritrea.<\/em><\/p>\n\n\n\n<p><em>Mimi naishi nao, tunafanya kazi pamoja yupo\u00a0 kocha mkuu\u00a0 wa zamani wa\u00a0 timu ya taifa ya Eritrea&#8221;.<\/em><\/p>\n\n\n\n<p>Aidha, Kocha Mukasa amesema kwamba timu yao imeshiriki mashindano mbali mbali ikiwa ni pamoja na Estonia, France, Italy na Dubai.<\/p>\n\n\n\n<p>Amebaini kuwa wana mpango wa kuanza kunoa watoto wadogo wanaoendesha baiskeli ili siku za usoni wawe na timu kali.<\/p>\n\n\n\n<p>Hili shindano la \u2019&#8217;Criterium de Kigali\u201d , limekuja baada ya Rais wa Shirikisho la mchezo wa kuendesha baiskeli (FERWACY) Murenzi Abdallah kujiuzulu kazi kwa hiari yake tarehe 31 Agosti 2023.<\/p>\n\n\n\n<p>Mbali na Bwana Abdallah aliyejiuzuru, mwingine ni Nkuranga Adolphe mkurugenzi mtendaji alijiuzulu pia.<\/p>\n\n\n\n<p>Makamu wa rais &nbsp;wa FERWACY, Karangwa Francois ndiye akiongoza mkutano mkuu<\/p>\n\n\n\n<p>Naye katibu mkuu wa FERWACY Benoit Munyankindi Benoit yuko jela kutokana na kile kilichotajwa kutowajibika &nbsp;pamoja na kutumia vibaya madaraka aliyopewa. katibu wa kudumu&nbsp; Murenzi Emmanuel yeye amefukuzwa kazi.<\/p>\n\n\n\n<p>Kulingana na taarifa ni kwamba katika mkutano \u00a0mkuu uliofanyika jumapili tarehe 10 Septemba 2023 mjini Kigali, tayari  Shirikisho la kuendesha baiskeli FERWACY limemwachisha kazi\u00a0Munyankindi .Aidha, Rais wa Shirikisho hilo atachukua usukani kabla ya tarehe 21 Octoba 2023.<\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"1000\" height=\"668\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/ferwacy-3.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-3688\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/ferwacy-3.jpg 1000w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/ferwacy-3-300x200.jpg 300w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/ferwacy-3-768x513.jpg 768w\" sizes=\"auto, (max-width: 1000px) 100vw, 1000px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>                                                Makamu Rais wa kwanza Karangwa Fran\u00e7ois  akiongoza kikao cha dharura<\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"1000\" height=\"667\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/ferwacy-4.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-3689\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/ferwacy-4.jpg 1000w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/ferwacy-4-300x200.jpg 300w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/ferwacy-4-768x512.jpg 768w\" sizes=\"auto, (max-width: 1000px) 100vw, 1000px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>                                                   Wanakamati  wa FERWACY wakiwa  kwenye kikao<\/p>\n\n\n\n<p>Christopher Karenzi<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Criterium de Kigali&nbsp; ni moja ya mashindano yanayoandaliwa na Shirikisho&nbsp; la kuendesha baiskeli nchini Rwanda FERWACY ambayo yako kwenye karenda<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":3685,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[9],"tags":[],"class_list":["post-3684","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-imikino"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/3684","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=3684"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/3684\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":3690,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/3684\/revisions\/3690"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media\/3685"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=3684"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=3684"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=3684"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}