{"id":3676,"date":"2023-09-11T10:30:32","date_gmt":"2023-09-11T10:30:32","guid":{"rendered":"https:\/\/brightafrica.rw\/?p=3676"},"modified":"2023-09-11T13:03:53","modified_gmt":"2023-09-11T13:03:53","slug":"may-stars-continental-cycling-team-ni-muhimu-sana-kwa-wanabaiskeli-rwanda","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/2023\/09\/11\/may-stars-continental-cycling-team-ni-muhimu-sana-kwa-wanabaiskeli-rwanda\/","title":{"rendered":"May stars Continental Cycling Team, ni muhimu sana kwa wanabaiskeli Rwanda"},"content":{"rendered":"\n<p>Criterium de Kigali&nbsp; ni moja ya mashindano yanayoandaliwa na Shirikisho&nbsp; la kuendesha baiskeli nchini Rwanda FERWACY ambayo yako kwenye karenda ya \u201cRwanda Cycling Cup\u201d.<\/p>\n\n\n\n<p>&nbsp;Washiriki wa shindano kutoka vilabu mbali mbali wanaume kwa wanawake wameshiriki shindano hilo jumapili tarehe 08.09.2023jijini Kigali kupitia njia ya&nbsp; BK Arena &#8211; Kimironko Simba &#8211; KIE &#8211; RRA &#8211; Airtel &#8211; Stade Amahoro &#8211; BK Arena.<\/p>\n\n\n\n<p>Upande wa wanaume mwendesha baiskeli Mugisha Mo\u00efse wa Club ya Benediction Club kutoka mjini Gisenyi ametawazwa bingwa katika shindano maarufu \u2018\u2019Criterium de Kigali\u201d&nbsp; umbali wa kilomita 86 akitumia muda wa saa mbili , dakika moja na sekunde 5&nbsp; (2h 1\u2019 5\u2019\u2019).<\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"1000\" height=\"664\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/mugisha.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-3678\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/mugisha.jpg 1000w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/mugisha-300x199.jpg 300w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/mugisha-768x510.jpg 768w\" sizes=\"auto, (max-width: 1000px) 100vw, 1000px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>Niyonkuru Samuel wa&nbsp; Club ya&nbsp; Les Amis Sportifs, ameshikilia nafasi ya pili akiwa nyuma kwa sekunde 4.<\/p>\n\n\n\n<p>Mukasa Nelson ni mkufunzi wa kuongeza nguvu wachezaji lakini pia ni Team manager wa Club ya&nbsp; May Stars inayomilikiwa na mwekezaji kutoka&nbsp; Eritria.<\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full is-resized\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Mukasa-Nelson-May-stars-Team-Manager.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-3679\" style=\"width:1054px;height:1139px\" width=\"1054\" height=\"1139\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Mukasa-Nelson-May-stars-Team-Manager.jpg 679w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Mukasa-Nelson-May-stars-Team-Manager-278x300.jpg 278w\" sizes=\"auto, (max-width: 1054px) 100vw, 1054px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>Meneja wa timu na Kocha wa kunyoosha misuli  katika  May stars Continental Cycling Team<\/p>\n\n\n\n<p>Baada ya shindano hilo kumalizika Mukasa alikuwa amesema kwamba shindano hili ni muhimu kwa vijana kwa maandalizi ya mashindano ya dunia yatakayofanyika kwa mara ya kwanza&nbsp; katika ardhi ya Rwanda mwaka 2025.<\/p>\n\n\n\n<p>\u2018\u2019 <em>Hili shindano limetuonyesha kwamba lina wachezaji wazuri&nbsp; wa Rwanda wenye vipaji, huu ni mwanzo mzuri wa kujiandaa&nbsp; shindano&nbsp; la dunia mwaka 2025 kuanzia kwa watoto vijana&nbsp; wadogo wasichana kwa wavulana\u2019\u2019<\/em>.<\/p>\n\n\n\n<p>Kuhusu Timu ya wa eritrea iliyopo&nbsp; hapa Rwanda May stars Continental Cycling Team, amesema kwamba ni timu ambayo iko kwenye kiwango cha kushiriki&nbsp; mashindano ya Bara.<\/p>\n\n\n\n<p>Amesema na hapa namnukuu <em>\u2018\u2019 Tutajifunza mengi&nbsp; sana kutoka kwa waeritria kwasababu wanaongoza barani Afrika kwa kuendesha baiskeli<\/em>, <em>Ni muhimu sana<\/em> <em>kuwepo kwa timu hii ya Eritrea ambayo&nbsp; hutumia wachezaji wa Rwanda na Eritrea.<\/em><\/p>\n\n\n\n<p><em>Mimi naishi nao, tunafanya kazi pamoja yupo&nbsp; kocha mkuu&nbsp; wa zamani wa&nbsp; timu ya taifa ya Eritrea.<\/em><\/p>\n\n\n\n<p>Aidha, Kocha Mukasa amesema kwamba timu yao imeshiriki mashindano mbali mbali ikiwa ni pamoja na Estonia, France, Italy na Dubai.<\/p>\n\n\n\n<p>Amebaini kuwa wana mpango wa kuanza kunoa watoto wadogo wanaoendesha baiskeli ili siku za usoni wawe na timu kali.<\/p>\n\n\n\n<p>Hili shindano\u2019Criterium de Kigali\u201d limekuja baada ya Rais wa Shirikisho la mchezo wa kuendesha baiskeli (FERWACY) Murenzi Abdallah kujiuzulu kazi kwa hiari yake tarehe 31 Agosti 2023.<\/p>\n\n\n\n<p>Mbali na Bwana Abdallah aliyejiuzuru, mwingine ni Nkuranga Adolphe mkurugenzi mtendaji alijiuzulu pia.<\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full is-resized\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Makamu-wa-rais-FERWACY-Karangwa-Francois-ndiye-aliongoza-mkutano-mkuu.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-3680\" style=\"width:1045px;height:698px\" width=\"1045\" height=\"698\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Makamu-wa-rais-FERWACY-Karangwa-Francois-ndiye-aliongoza-mkutano-mkuu.jpg 1000w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Makamu-wa-rais-FERWACY-Karangwa-Francois-ndiye-aliongoza-mkutano-mkuu-300x200.jpg 300w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Makamu-wa-rais-FERWACY-Karangwa-Francois-ndiye-aliongoza-mkutano-mkuu-768x513.jpg 768w\" sizes=\"auto, (max-width: 1045px) 100vw, 1045px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>                         Makamu wa rais &nbsp;wa FERWACY, Karangwa Francois ndiye akiongoza mkutano mkuu<\/p>\n\n\n\n<p>Naye katibu mkuu wa FERWACY Benoit Munyankindi Benoit yuko jela kutokana na kile kilichotajwa kutowajibika &nbsp;pamoja na kutumia vibaya madaraka aliyopewa. katibu wa kudumu&nbsp; Murenzi Emmanuel yeye amefukuzwa kazi.<\/p>\n\n\n\n<p>Kulingana na taarifa ni kwamba katika mkutano &nbsp;mkuu uliofanyika jumapili tarehe 10 Septemba 2023, tayari &nbsp;Munyankindi amefutwa kazi na Shirikisho la kuendesha baiskeli FERWACY.<\/p>\n\n\n\n<p>Aidha, Rais wa Shirikisho hilo atachukua usukani kabla ya tarehe 21 Octoba 2023.<\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full is-resized\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" src=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Wanakamati-FERWACY.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-3681\" style=\"width:1032px;height:688px\" width=\"1032\" height=\"688\" srcset=\"https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Wanakamati-FERWACY.jpg 1000w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Wanakamati-FERWACY-300x200.jpg 300w, https:\/\/brightafrica.rw\/wp-content\/uploads\/2023\/09\/Wanakamati-FERWACY-768x512.jpg 768w\" sizes=\"auto, (max-width: 1032px) 100vw, 1032px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p>                                                                                               Wanakamati wa FERWACY<\/p>\n\n\n\n<p><strong>Christopher Karenzi<\/strong><\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Criterium de Kigali&nbsp; ni moja ya mashindano yanayoandaliwa na Shirikisho&nbsp; la kuendesha baiskeli nchini Rwanda FERWACY ambayo yako kwenye karenda<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":3677,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[9],"tags":[],"class_list":["post-3676","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-imikino"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/3676","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=3676"}],"version-history":[{"count":2,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/3676\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":3683,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/3676\/revisions\/3683"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media\/3677"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=3676"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=3676"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/brightafrica.rw\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=3676"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}